Monday, February 22, 2010

Drogba kumnyima usingizi kesho maurinho







Timu ya taifa ya soka, Taifa stars imepangwa katika kundi lisilotabirika. Stars itakuwa na kibarua cha kuvaana na Morocco, Algeria pamoja na Afrika ya Kati katika harakati za kuwania tiketi ya kucheza kombe la mataifa ya afrika mwaka 2012 nchini Gabon na Guinea ya Ikweta.

Kwa mujibu wa makundi hayo yaiyotolewa na CAF, kenya pamoja na Uganda ziepangwa pamoja huku zikiwa na upinzani kutoka kwa Angola na nchi nyingine za afrika mashariki zilizopangwa pamoja ni Rwanda na Burundi ambazo zimepangwa na kigogo wa Afrika Magharibi, Ivory Coast.

Monday, February 15, 2010

Norway yazidi kupaa katika olimpiki




Norway imeendelea kuongoza kwa kuchukua medali nyingi katika michezo ya olimpiki ya majira ya baridi yanayoendelea huko vancover nchini Canada. Hadi hivi sasa Norway imejikusanyia medali mia mbili themanini na sita ikifuatiwa na marekani ambayo ina mia mbili hamsini na moja huku ya tatu ikiwa ni umoja wa nchi za kisovieti

Papic aweweseka




Kocha mkuu wa klabu ya yanga ameshindwa kukubali ama kukataa kama matokeo ya timu yake kufungwa na Lupopo goli tatu kwa mbili kuanaweza kuathiri maombi yake ya kutaka kuwa kocha mkuu wa taifa stars.
Kocha huyo amesema hayo baada ya kuulizwa swali na hayqal mushi kuwa anaonaje nafasi yake ya kuwa kocha wa stars baada ya kufungwa na lupopo.
Kwa sasa papic amesema anaelekeza nguvu zake katika mchezo wa marudiano na anaamini anaweza akaivusha mzunguko wa pili.

Monday, February 8, 2010

Yanga yajipanga kuikabili Lupopo




Mabingwa watetezi wa ligi kuu ya Tanzania Bara, Dar Young Afrikand wanajiandaa vikali kuikabili mabingwa wa DRC FC Lupopo katika mchezo wa kwanza wa ligi ya mabingwa wa afrika utakaochezwa katika dimba la taifa jumamosi hii.

Hivi sasa kikosi cha mabingwa hao kipo katika hali nzuri na hakuna taarifa yoyote ya majeruhi labda baada ya mchezo wa jioni ya leo dhidi ya Mtibwa utakapochezwa.

Mara ya mwisho Yanga kufanya vizuri katika ligi ya mabingwa wa afrika ilikuwa ni mwaka 1999 ambapo ilifika hadi katika hatua ya makundi.

VANESSA PERRONCEL. MCHUCHU ALIYEMCOST JOHN TERRY UNAHODHA ENGLAND.




Binti mwenye asili ya kifaransa. mwanamitindo wa nguo za ndani. yupo addicted na ku-date ma celebrities na wachezaji mpira. baada ya kumcost Terry unahodha sasa anataka kuiuza story yake kwa mamilioni ya pesa kwenye vyombo vya habari.


tumuite husstla? malaya? au ndo maisha. si hatujui ila ni msaliti.


kamsaliti mwanaye Jaydon, kamsaliti mzazi mwenzie Bridge na pia kamsaliti shoga yake Toni Terry mke wa JT.


Yeye na Wayne walikua marafiki wakubwa wa JT na Toni enzi zao za Stamford Bridge. lakini sasa hakuna mwenye ham na mwenzie. tusubiri kwa hamu kuwaona JT na Bridge katika PITCH moja baada ya kuwa on top of BITCH mmoja wa kifaransa ingawa mpaka sasa Wayne ndo anaongoza moja bila baada ya kumzalisha Vanessas. JT yeye goli lake lilikua offside so likakataliwa.

JT, Bridge, Toni, Vanessa na watoto wa JT enzi za Stamford Bridge. hii ilikuwa mwaka 2007.

PLAYERS WHO LOOKS LIKELY TO IMPRESS IN THE WORLD CUP THIS SUMMER.



Samir Handanovic (Slovenia): If Slovenia are to emerge from a group containing England, USA and Algeria, their goalkeeper will need to continue the exceptional form that saw the country concede just four goals in ten games during qualification. Handanovic, 25, is an acrobatic goalkeeper with a good record on penalties and stands at over 6' 5". Current club Udinese may well be braced for interest after the tournament, especially given previous links with some of Europe's top clubs.

GettyImagesAngel Di Maria would love to be the hero in South Africa
Angel Di Maria (Argentina): He'll be competing with the likes of Lionel Messi, Carlos Tevez, Sergio Aguero and most probably Diego Maradona for the headlines about Argentina, but this Benfica winger, who turns 22 shortly, has been in astonishing form this season. Manchester United and Chelsea are both rumoured to be interested in Di Maria as a result and Maradona has tipped him to become a world superstar. With modest opposition in the group stages - Nigeria, South Korea and Greece - and teams likely to focus their efforts on stopping Messi and Co, Di Maria has the chance to establish himself alongside some of his team-mates as a household name.


Yoann Gourcuff (France):


Gourcuff still lacks the star billing of Franck Ribery, Thierry Henry and Nicolas Anelka, but it would be little surprise were he to break through into superstardom this summer. Playing behind the main striker, he has sublime technique, great vision and can score from distance - the attributes that saw Zinedine Zidane etch his name into World Cup legend. He is a key part of Bordeaux's success in France and is currently both Ligue 1 Player of the Year and France Football's French Player of the Year. Raymond Domenech can thank his lucky stars he's not a Scorpio.


Jesus Navas (Spain):


Spain have untold riches in reserve and the likes of Pedro and Sergio Canales will be hoping to make the squad and force their way into the team, but 24-year-old Sevilla winger Navas appears to be better placed to make his mark this summer. He has had serious anxiety problems in the past and suffers panic attacks when spending extended periods of time away from Seville, but he has undergone therapy and now seems to be on top of the problem. Vicente Del Bosque handed Navas his first cap in November and, given his ability to play on either flank, his pace, goal-scoring ability and consistency, he has every chance of international stardom.


Nicklas Bendtner (Denmark):


His performances in the Premier League suggest Bendtner still has work to do to fulfil his potential, but he looks ready to become a real star for his country. He scored goals home and away against Portugal in qualification and was voted Danish Player of the Year and, as Morten Olsen has the side playing well and Denmark have been drawn in a group alongside Netherlands, Japan and Cameroon, Denmark could well enjoy a decent run in the competition with Bendtner supplying the goals.



Mesut Ozil (Germany):


Many have been happy to ignore the old adage that you should never write off the Germans but, beyond the established stars like Miroslav Klose, Michael Ballack and Phillip Lahm, Joachim Loew may have a secret weapon up his sleeve. Ozil, a skilful midfield playmaker who has a history of unfortunate haircuts, turned 21 in October and made his Germany debut only a year ago, but he is already established as a genuine talent for both his club, Werder Bremen, and his country. He's been mooted as a long-term successor for Cesc Fabregas at Arsenal.


Marek Hamsik (Slovakia):


Pavel Nedved, who became a major star after helping Czech Republic reach the final of Euro 96, recently touted Hamsik as his true heir - "he is the player with the characteristics that enable him to play just like me" - and he could play a major part in helping Slovakia make a success of their first ever international tournament. Currently at Napoli and just 22 years old, he, like Nedved, plays in an advanced midfield role or on the left and weighs in with a hefty number of goals.

Oscar Cardozo (Paraguay):


A prolific striker for Benfica in the Portuguese league, 26-year-old Cardozo carries an aerial threat, is comfortable with the ball at his feet and capable of scoring from distance. He has been in Roque Santa Cruz's shadow for his country but, with the Manchester City man continually restricted by injuries, this summer could be his time to shine.


Aaron Lennon (England):


Lennon burst onto the international scene in style at the 2006 World Cup, injecting explosive pace into a lethargic England side from the bench, but suffered a dip in form afterwards. In the last two seasons, though, he has surpassed those early performances and is a major part of Tottenham's Champions League challenge, finally combining his ability to go past defenders with consistently dangerous crosses. However, there are suggestions that a hernia problem could put his World Cup hopes in jeopardy, which would be a major blow for England.


Nilmar (Brazil):


Now 25, Nilmar made his Brazil debut in 2003 and was then recalled by Dunga in 2008 after years in the international wilderness. He was phenomenal from 2007 to 2009 as he returned to first club Internacional after spells with French side Lyon and Corinthians, and that form prompted a big-money move to Villarreal. He has made a positive impact in Spain and now looks the real deal for his country: England fans will remember his headed goal when they faced Brazil in Qatar in November, and he scored five goals in four starts in qualification for the World Cup, including a hat-trick against Chile.
Courtesy of soccernet.com.

Tuesday, February 2, 2010

Hull City yaing´ang'ania Chelsea


klabu ya chelsea imelazimishwa sare ya goli moja kwa moja na klabu ya Hull city hivyo kushindwa kutumia vizuri kiporo chake cha mechi moja alichokuwa nacho.


Hull City ndio waliokuwa wa kwanza kupata goli ambapo katika dk ya 30, Steven Mauyokolo alipiga kichwa safi kilichoenda moja kwa moja katika wavu wa Chelsea.


Goli la kusawazisha la Chelsea lilipatikana katika kipindi cha pili dakika ya 42, kupitia kwa mshambuliaji wake nguli, Didier Drogba ambaye alipiga kiufundi mpira wa adhabu aliomzidi mlinda mlango wa Hull City Boaz Myhill.


Katika hatua nyingine klabu ya Chelsea inatarajia kumpa likizo mlinzi na nahodha wa timu hiyo John Terry ili aweze kushughulikia matatizo yake binafsi yanayomkabili hivi sasa kutokana na kashfa ya kufanya mapenzi na mchumba wa mchezaji mwenzake wa zamani wa Chelsea, Wayne Bridge.