Tuesday, March 2, 2010

Capello awaonya wachezaji wake


Kocha mkuu wa timu ya taifa ya uingereza fabio capello amewataka wachezaji wake kusahau matatizo yao binafi yanayowakabili na badala yake waelekeze nguvu zao katika kujiandaa na fainali za dunia.

John Terry na Wayne Bridge wamekuwa katika ugomvi mkubwa wa mapenzi hai iliyomfanya Bridge kujiondoa katika kikosi cha timu ya taifa cha nchi hiyo huku Ashley Cole akiwa ana matatizo na mkewe abaada ya kusaliti ndoa yao

Uingereza inacheza na misri usiku wa leo ktika mchezo wa kujipima nguvu

No comments:

Post a Comment