Thursday, May 6, 2010

Ribery kukaa kwa mashabiki fainali ya UEFA


Rufaa ya klabu ya Bayern Munich ya kutaka kupunguziwa kwa adhabu kwa kiungo wake mchezeshaji Frank Ribery imetupiliwa mbali na shirikisho la mpira wa miguu.


Licha ya kutupiliwa mbali rufaa hiyo ya Riery, mwenyekiti wa klabu ya bayern munich, Karl-Heinz Ruminege amesema bado timu yake itaendelea kukata rufaaa hadi waone haki imetendeka kwa kiungo huyo aliyepewa kadi nyekundu katika mchezo wa kwanza wa nusu fainali ya ligi ya mabingwa barani ulaya dhidi ya Lyon.

No comments:

Post a Comment